Biashara ya Forex Online.
Biashara ya fedha (Forex) ni nin? Hii ni bishara kama biashara nyingine ya bidhaa unaweza kunua mchele mashambani kwa bei kubwa ukaja sokon dar es salaam ukakuta bei imepanda ukauza kwa bei ya juu ukapata faida au unaweza kuta bei imeshuka ukauza bei ya chini ukapata hasara.
Tofauti ya hii na biashara nyingine ni kuwa unaongezewa ulicho nacho ili uwekeze Zaidi na pia bei inapanda na kushuka kwa muda mfupi sana yan ndani ya sekunde.
Kwa nini watanzania wanaogopa biashaa hii? Watu wengi wamekuwa wakitamani kujua na kuweza kufanya biashara ya fedha mtandaoni, lakin wamekuwa wakikosa fursa hiyo ya kujua. Lakin pia kumekuwa na matapeli ambao wanawaambia watu watume hela ili wakusaidia hii sio sahihi.
Kwa ujumla changamoto ambayo inawakwamisha wengi ni
baadhi ya makampuni kuweka kianzio kikubwa hivyo watanzania wengi wakashindwa na
hata hivyo hakuna aliye tayari kuwekeza fedha nyingi sehemu moja.
Mambo ya Msingi kwenye Bishara ya Fedha Mtandaoni (Forex)
1.
Kianzio
cha Biashara ni kiasi gani?
Biashara ya fedha inasimamiwa na bank za biashara, hivyo kuna Kiwango cha chini ambacho bank kimeweka ili uweze kufanya biashara ambacho ni unit 100,000 yani kama ni dolla basi $100,000 hii huwa wanaita standard lot, lakini kuna Kiwango kingine kama min ambayo ni unit 10,000 na macro unit 1,000, nashauri sana uchague macro kwa kuanzia. Hivyo hakuna mfanya biashara wa kawaida atakubali kuweka hela zote hizi, hii ikasababisha kuwepo na mawakala/brokers ambao hawa wanaunganisha wafanya biashara (retail traders) na Banki.
Mawakala hawa wanatoa kitu kinachoitwa
leverage yani ni kama kiasi cha fedha unachoongezewa ili uweze kujiinua na
kufanya biashara.Kila Wakala anaruhusu mtu achague leverage anayoitaka hivyo
kupitia leverage unaweza kufanya biashara ukapata faida kubwa.
Mfano
umechagua leverage ya 1:100 maana yake wewe utahitaji 1% na broker atakupa 99%
ili kukuwezesha kufanya biashara. Hivyo ukichagua leverage kubwa ndio unawekewa
hela nyingi Zaidi. Hivyo usiwe na wasiwasi unaweza kuwekeza hata $ 1 maana
leverage ipo kukusaidia utimize ndoto zako.
Jambo
la muhimu kuliko yote wapo baadhi ya mawakala wanatoa demo account kwa ajili ya
wanaoanza na ukipata faida basi unaichua wewe.
Kupitia hapa tutakuwezesha kufungua hiyo account ili uanze kukua na
kupata faida kubwa Zaidi. Mfano wa kampuni hiyo ni FBS Forex Market kampuni hii inakupa dolla 100 kama demo na Ukifanya biashara ukapata faida dolla
100 ni za kwako.
2. Napataje Faida kwenye biashara ya fedha?
Ili upate faida maana yake unanunua au unauza jozi ya pesa mfano EURO/USD yani ukinunua maana yake unasubiri bei ipande ufunge upate faida na ukiuza maana yake unasubir bei ishuke ufunge order upate faida. Chukulia umenunua EURO/USD 1.0964 bei ikapanda ukafunga kwa 1.0971 tofauti hapo inakuwa 0.0007 hii ndio faida ni ndogo sana kwa sababu ujatumia leverage lakini pia faida ya biashara ya fedha inapigwa kwa kutumia pip.
Pips ni nin?
Hii inawakilisha nafasi za desimali za kilichobadilika kwenye jozi ya fedha, kuna baadhi ya fedha zinakuwa na nafasi 2,4 na 5.
Kwa huo mfano hapo juu maana yake
hizo ni pip 7, kama umechagua macro leverage unit 1000 maana yake kila pip ni
usd 0.1 kwa mfano hapo juu utapa 0.7 usd kama faida, lakin kama umechagua
leverage ya min unit 10,000 utapata faid ya usd 1 kwa kila pip maana yake
utapata faida ya USD 7. Na kama ni standard utapa 10$ itakuwa sawa na 70$.
Utaona namna leverage na lot size inavyofanya kazi na kuweza kupata faida. Tutazijadili kwa undani Zaidi kwenye masomo yajayo. Uwepo kwa leverage ndio kumefanya biashara hii ya fedha ikawa na faida kubwa kwa kuwekeza fedha kidogo.
3.
Nifanye
biashara ya fedha sehemu gani?
Lakin pia bank hazina mfumo wa kuwezesha wafanya biashara kufanya biashara hii kwa mitandao hivyo broker wametengeneza mfumo.Ipo platform Maarufu inaitwa Meta trade ukijiunga unadownload na bure kabisa inafaa kutumika kwenye computer, simu za android na iphone. Mfumo huu unatumia na broker wote na unakupa fursa ya kuona live mabadiliko ya bei ya soko, faida na hasara.
4.
Muda
wa kufanya biashara ni upi?
Katika biashara ya fedha hili ni la muhimu sana, kwa kawaida siku za weeend mfumo unazimwa hakuna biashara. Mfumo unakuwa wazi kuanzia Jumatatu saa 00:00 usiku hadi ijumaa saa 23:59 usiku. Likin pia unapswa ujue muda ambao masoko ya fedha ya baadhi ya nchi yanafunguliwa na kufungwa maana tunatofautiana masaa, tutakuwa tunatuma muda huo kila siku.
Muda ambao soko lipo waz hata hali ya bei inachangamka mfano kwa London soko
linafunguliwa saa tatu asubuhi na kufungwa saa 11 jioni.
Lingine
la msingi ni sikuku za baanzi ya nchi maana siku hiyo pia soko linafungwa kwa
nchi usika kwa maana hiyo fedha yao itakuwa inauzika taratibu sana. Inashauriwa
kutokufanya biashara ya fedha husika siku hiyo.
5.
Je
ni lazima kufunga biashara siku hiyo hiyo?
Mara nyingi biashara ya fedha inatakiwa ukifungua oder ufunge siku hiyo hiyo lakin kama imeshindikana labda kwa kuhofia kufunga biashara yenye hasara ukiwa na matumaini kesho yake bei itakuwa nzuri na upate faida inaruhusiwa. Kama hutashindwa kufunga biashara usiku husika kuna kitu kinaitwa swap rollover hii inatozwa kwa asilimia ya ulichowekeza.
Hii ni interest rate unajua kwenye
biashara ya fedha wew humiliki fedha bali una hodhi (speculate) hivyo ukikaa
nazo mpaka kesho kunakuwa na riba (interest rate) amabayo inatozwa na bank.
Inweza ikawa faida au hasara kwa kuwa ni tofauti ya interest rate kati fedha
mbili ulizohonzi mfano EURO/USD. Broker huwa anaandika kabisa kwa hiyo kama
ikiwa chana ni faida kwako ikiwa hasi ni hasara lakin kinakuwa ni kiasi kidogo
sana inaweza kuwa 0.01 usd au -0.007.
6.
Nitajuwaje
kama nikipata hasara kubwa kuliko nilichonacho?
Unaweza
ukawa umefungua account kwa broker ukaweka mfano USD 5 halafu ukanunua 1USD
ukifikiri bei itapanda badala yake ikashuka sas inavyozidi kushuka usipofunga position
hasara inazidi kuongezeka na ikipanda usipofunga position faida inazidi
kuongezeka. Sas ikishuka mpaka ikafika kiasi kilichobakia ni 20% au badhi ya
broker wameweka 40% watakutumia ujumbe ili uongeze salio kwenye account na
ukishindwa basi order ya biashara yako itajifunga yenyewe hii inafanyika ili
kuepuka account yako kubakiwa na negative balance.
Kumbuka
biashara ya fedha bei inapanda sana na kushuka kwa muda mfupi sana ili kuepuka
order yako kufunga Automatic tena kwa hasara nakushauri ukishaona hiyo hali ya
hasara inazidi kuongezeka na marginal level au kilichobakia ni 80% fanya kitu
kinachoitwa hedging yana unanunua na kuuza kwa wakati mmoja aina moja ya fedha.
Tutalezea zaidi kwenye vipindi vijavyo.
7.
Je
nalazimika kukaa kwenye simu au computer muda wote kuangalia kama bei imebalika
na nimepata faida nifunge position?
Unaweza kufanya njia tatu ya kwanza ni kama una muda unaweza kukaa ukawa unaangalia trend ya soko na ukafunga order au kufungua order mpya. Hii nja ni nzuri maana inakufanya kujifunza na kufanya maamuzi manual lakin mbaya sana hasa kwa mtu mwenye mwemko kubwa na kupaniki anajikuta kafanya maamuzi ambayo atayajutia.
Imagine unaona hasara inazidi lakin kumbe baada ya muda unaona soko linabadika
unapata faida au unaona kafaida kidogo tu unafurahi unafunga oder kumbe baadae
faida ingekuwa kubwa mara mia. Sio lazima kukaa na kuangalia screen muda wote
unaweza kuset alert kweye mfumo bei ikifika unayotaka alamu inaita unafunga
order manual.
Njia
ya pili ni kufanya automatic yani wew unaweka kwamba ikifikia faida kiasi fulani
order ifungwe na bei ikifikia sehemu fulan oder mpya ifunguliwe. Pia unaweza ukaweka
sehemu kwamba hasara mwisho kiasi gani. Ukishaweka yotehayo kila kitu
kitafanyika automatic hata kama huupo kwenye internet ukija jioni unaangalia tu
mahesabu yako. Njia ya Tatu ni kutumia Expert Adviser yani kila kitu
kinafanyika automatic hii sio nzuri kwa anayeanza.
8.
Je
nawezaje kujua hali ya soko?
Ukitaka
ufanye biashara ya fedha ufurahi fuatiliaa forex news ambazo zinatolewa. broker
unayemchagua mfano FBS Market Inc, InstaForex, Huwa wanatoa update ya hali ya uchumi. Hii
itakuafanya ujue kama fedha itapanda au itashuka. Pia angalia hali ya fedha
husika kwa siku zilizopita ilikuwaje.
Kumbuka
hii sio Kamari ni biashara kama biashara nyingine hivyo lazima uwe na taarifa
sahihi ili ufanye maamuzi sahishi.
9.
Je
nawezaje kufanya biashara bila hasara?
Mfanya
biashara yoyote ni risk taker na hakuna biashara isiyo kuwa na faida na hasara
lakini zipo njia za kupunguza hatari ya hasara, njia rahisi ni ya kutumia
hedging hii unanunua na kuuza kwa wakati mmoja kwenye jozi moja mfano EURO/USD
hii itakusaidia kama bei itapanda unapata faida lakin kama itashuka unapata
faida. Hakikisha idadi ya unachowekeza kinalingana ili kuepuka maginal level
kubadilika mfano unanunua 1 usd unauza 1 usd kwa wakati mmoja. Endapo utatumia
njia hii hakikisha unajua ni muda gani wa kuingia sokon na kutoka sokoni.
Tutatoa elimu zaidi kwenye maada zijazo.
10Je
nawezaje kujua uhalali wa biashara hii? Na malipo yanafanyikaje?
Kama nilivyosema hapo juu kama ukianza na account ya demo maana yake unapewa bonus ya dolla 100 uhitaji kuweka hela. Lkain ukishapata faida kuanzia dolla 100 unaweza kuitoa.
Kwa Tanzania unaweza kutumia njia ya mastercard yako ya bank au
visa kadi pesa yako unaipata muda huo huo kwenye account yako ya bank. Mfano wa
kampuni amabazo zimesajiliwa na taasisi ya Fedha Duniani (IFSC) ni FBS Market Inc, InstaForex, LITEFOREX na XM FOREX, yapo makampuni mengi lakini mim
napendekeza haya maana yanahudumia watu wote Tanzania Ikiwepo yna Kiwango cha
chini kianzio, na vigezo vingine nitavitoa kwenye mada zijazo.
Ikiwa
pia umeamua kufungua account ya biashara ukaanza na mtaji wa olla 1 au 5 njia
rahisi ya kuweka ni kutumia mastercard au visa card ya bank.
Lakin
pia ipo njia nyingine ambayo ni rahisi na nisalama Zaidi ambayo hata mimi
naitumia ni kufungua mastercard na mpesa ambayo ni bure kabisa na haraka Zaidi
bonyeza *150*00# lipa na mpesa chagua mastercard halafu fuata maelekezo.
Ili
kujua kuwa kampuni n halali utaangalia usajili wake kwenye link hapa chini.
Epuka kumtumia mtu hela pesa unaweka kwenye account yako uliyofungua kwa broker
usika na ni salama kabisa ikiwa umekosea kitu wakati wa kuweka au kutoa pesa
basi pesa inarudishwa kwenye account yako.
Somo
hili ni la utangulizi tutajifunza kipengele kimoja kimoja hadi ufikie hatua ya
kufungua account na kuanza kufanya biashara kwa mara ya kwanza.
Ufafanuzi muhimu wa
maneno ambayo kila mfanyabiashara anapaswa
kujua ili afanye uchaguzi sahihi kwa kujua
LOTS
Lot ni neno ambalo lipo sana kwenye forex, hii ni idadi ya vipande vya sarafu. Lot moja ni Kiasi sawa na vipande 100,000 vya sarafu ambyo ni standard / sarafu ya akaunti yako ya kianzio.
Inamaanisha kwamba
ikiwa unataka kufanya biashara ya EUR / USD, utahitaji $ 100,000. Kuna saizi
zingine mbili zinazojulikana. Ni mengi kidogo sawa na vipande 10,000 (min unit
10,000) na mengi mengi sawa na vipande 1,000 ( macro unit 1000).
Ili
kufungua biashara, utahitaji kuamua ni pesa ngapi za kuweka. Neno 'lot'
linahusishwa sana na maneno kama vile 'leverage' na 'pip'. Wacha tuingie kwa
undani katika maneno yote.
PIP
PIP
inamaanisha "Asilimia katika Uhakika wa decimali". Inawakilisha mabadiliko
madogo ambayo jozi ya sarafu inaweza kufanya. Kawaida, jozi huhesabiwa katika
nambari nne za decimal, kwa mfano, chukulia sarafu ya GBP / USD hupewa kama
hii: 1.3451. lakini, kuna jozi kadhaa ambazo zina pointi 2 za kukadiriwa. Kwa
mfano, Dola ya Amerika / yen ya Kijapani imenukuliwa kama 109.70. PIP
linawakilishwa na idadi ya mwisho ya bei yani viwango vya decimali.
Mfano
Ikiwa EUR / USD ilibadilika kutoka 1.0900 hadi 1.0909, hii itakuwa mabadiliko
ya pips 9. Ikiwa USD / JPY ilibadilika kutoka 120.00 hadi 120.11, hii itakuwa
mabadiliko ya pips 11. Kwa hiyo mabadiliko yanaweza kuwa chanya au hasi kama ni
chanya ni faida na hasi ni hasara.
Kumbuka
kuwa madalali wengine wa Forex pia huhesabu viwango 5 na 3 vya desimali na
hufanya hesabu kuwa pana na rahisi Zaidi hivyo mtu kupata faida kubwa mfano
dalali kama FBS anatumia viwango 5 na 3 vya decimali.
Je pip moja inathamani kiasi gani? yan chukulia ukiipeleka kwenye dolla
Chukulia
una macro account ambayo 0.01 lot n sawa na vipande 1000 vya sarafu husika,
ikiwa una leverage ya 1:1000 . Ikiwa umenunua Euro/usd kwa 1.9867 ukafunga kwa
1,9868 basi tofauti hapo inakuwa ni 0.0001 hii ni sawa na 1pip kwa viwango vine
vya decimal
0.0001$
(1pip) x 1000$ (unit for macro) =0.1$/pip
Hii
inategemea umechagua aina gani ya Account kwa standard yenye unit 100,000/ pip
moja ni sawa na $10 na mini unit 10,000 ni sawa na $1 kwa pip.
LEVERAGE/KIASI CHA KUKUINUA
Leverage
Maanake yake ni Kumpa Uwezo wa Kujiinua humruhusu mfanya biashara kuwa na pesa
zaidi kuliko aliyonayo kwenye akaunti yake. Kiasi gani Zaidi huongezwa?
Madalali tofauti hutoa ukubwa tofauti wa ukuzaji/leverage. Unaweza kuangalia
ukuzaji uliotolewa na FBS katika kwa
kila aina ya account.
Kwa
mfano, ikiwa una ukuzaji/leverage wa 1: 100, utahitaji kutoa tu 1% ya ukubwa wa
biashara uliotaka na nyingine 99% utaongezewa na broker ili kufanya biashara
yako ifanyike. Ikiwa utachagua leverage ya 1:50, utahitaji kutoa 2% ya ukubwa
wa biashara (1/50 = 0.02). kwa hiyo wakati wa kufungua account kuna sehemu
utajaza leverage unayoitaka, inaruhusiwa kubadilisha baadae lakin ni kwa mara
moja tu kwa siku.
Je! Kwanini broker wanawapa wafanyabiashara leverage?
Ukweli ni kwamba ukubwa wa lots/kianzio kwenye Forex ni kubwa sana. Ukubwa wa chini cha msimamo msimamo ni 0.01 lots sawa na unit 1000. Mfano Kwa jozi ya sarafu ya EUR / USD ambayo inachukua euro 1,000. Sio kila mtu atakayetaka kufanya biashara ya pesa atakuwa nazo, haswa mwanzoni.
Kama sababu hiyo, madalali wanawapa wafanyabiashara fursa
ya kuwekeza sehemu ndogo tu ya pesa na wao kufadhili biashara hiyo kupitia
leverage. Ni jukumu la kila mtu kuchagua leverage anayotaka kutokana Kiwango
alichonacho cha kuwekeza yan ukiwa na hele ndogo utachagua leverage kubwa ili
uongezewe nyingi.
Mfano.
Unataka kufanya biashara ya lot 0.1 kwa USD / CAD.
Hali
1. Unapaswa kutoa $ 100,000 (1 standard lot) ili uweze hufanya biashara yako kama haikopi pesa kutoka
kwa broker (hakuna leverage).
Hali
ya 2. Unaweza kuweka tu $ 100. Katika kesi hii, utahitaji ujumuishaji wa leverage
ya 1: 1000. Kwa ufikiaji huu wa Kiwango kinachotakiwa, dalali wako atatoa $ 9,9900
iliyobaki kukusaidia kufungua biashara.
Unaweza
kuchagua saizi ya leverage ambayo ungependa kutumia. Ukuaji mkubwa zaidi, faida
zaidi utapata kutoka kwa kila order. Wafanyabiashara wenye ujuzi wanaweza
kutumia leverage kubwa ili kupata faida haraka
na / au kwa idadi kubwa.
Wakati
huo huo, unapaswa kujua kila wakati kuwa hatari zako/hasara pia zinaongezeka
kwa ukubwa wa leverage. Ikiwa ulifungua biashara ya ununuzi lakini bei inashuka,
kila bei inaenda dhidi yako itakuletea hasara kubwa zaidi ya kile ulichonunua. Unapaswa
kuwa mwangalifu na uchague saizi ya kukuza wastani wa leverage. Leverage kawaida ya kati ya wafanyabiashara wa Forex ni
1: 100.
Margin
Unaweza
kuwa unashangaa ni jinsi gani madalali wanaishi kwenye soko ikiwa wanaruhusu
wafanyabiashara kukopa pesa nyingi kutoka kwao. Jibu ni kwamba madalali
wanalindwa kwa sababu ya magnin Kiwango cha mwisho. Margin ni kiasi cha pesa
unachohitaji kuwa nacho kwenye akaunti yako ili kufungua na kudumisha biashara
iliyofunguliwa. Yote kwa yote, ikiwa ni utatumia leverage kubwa zaidi basi magin unayotumia
itakuwa ndogo zaidi ili uweze kufanya
biashara.
Katika
platform yako ya biashara megatrade 4 unaweza kuona Balance”, “Equity”, “Margin”, and “Free margin”. Kwa
hivyo, margin ni kiasi cha pesa tayari umetumia: Jumla hii inafadhili biashara
yako iliyowazi sasa. Kiasi cha pesa ambacho unaweza bado kutumia kwa biashara
mpya huonyeshwa katika eneo la "free margin".
Margin call and Stop
Order
Hichi
ni kitu cha muhimu sana ambacho wafanya biashara wengi hawakijui hivyo kuishia
kupata hasara pasipo kujua. Hta mimi nakiri sikuwa najua hili.
Madalali kawaida hufafanua kiwango cha "margin call" wakin wengine wanficha sana mpaka uwe msomaji ndio utajua. Kiwango hiki kinawakilisha asilimia fulani ya kiasi.
Ikiwa unayo biashara
inayopoteza na usawa wako unaanguka kwa kiwango hicho, utapata onyo kutoka kwa
broker kwamba unahitaji kufunga biashara yako au kuweka pesa zaidi kukidhi
mahitaji ya kiwango cha chini cha kiasi. Seva ya biashara inaweza pia kufanya
uamuzi wa kufunga biashara moja kwa moja kwa kuanza na biashara inayopoteza
sana.
Kuna
pia kiwango kinachoitwa "stop out".
Hii inatokea Ikiwa unaendelea kupoteza pesa kwenye biashara isiyofanikiwa.
Ikiwa hasara zako zitavuta usawa wako kwa kiwango cha salio lako, basi broker
atastahili kufunga nafasi yako ya biashara bila maonyo yoyote. Hii inasaidia
kuepuka kubakiwa na negative balance kwenye account.
Kwa
FBS, majin ya kiwango iko kwa 40% na chini. Inamaanisha kwamba utapata magin
call ikiwa akaunti yako itashuka hadi
40% ya ulichowekeza (kwa mfano, 40% ya $ 10 ni $ 4). Stop out/ kusimama ni sawa
na 20% kwa FBS, kwa hivyo biashara yako itafungwa moja kwa moja ikiwa usawa
wako utashuka hadi $ 20 (20% ya kiasi na chini ya ulichowekeza).
Kila
dalali anakuwa na kiwango chake. Majini inahitajika kwa usalama wa dalali na
wako ikiwa soko litaenda kinyume na matarajio yako. Ni kwa faida yako kama
mfanyabiashara ili kuzuia margin. Ikiwa wewe ni mwangalifu na uzingatia kanuni
za usimamizi wa hatari/risk, utaweza kufanya hivyo na kufanya biashara na
faida. Tutakuja kuangalia njia ya kuepuka hili.
JINSI MANENO HAPO JUU YANAVYOFANYA KAZI KWA PAMOJA NA UPATE UELEWA
Je ni kiasi gani kinahitajika
kuanza biashara hii
Kumbuka
kuwa kuna akaunti za demo ambazo hukuuruhusu kufanya biashara bila kuwekeza
dola moja. Mfano Saizi ya akaunti ya demo na FBS inaweza kuwa hadi dola milioni
moja ila kwa sasa ni dola 100. Akaunti ya demo itakuruhusu kufanya mazoezi ya
kuagiza fedha na kuweka ukubwa wa msimamo. FBS inakupa fursa ya Account hii na
unaweza kufanya biashara ukapata faida. Kumbuka kuna baadhi ya account za demo
wanalipa faida kama FBS.
Ikiwa uko tayari kufanya biashara ukitumia akaunti halisi na upate pesa halisi, unapaswa kujua kuwa kiwango cha pesa unahitaji kuanza biashara inategemea aina ya akaunti unayochagua na dalali unayemtumia. Kwa mfano, ili kufanya biashara kwenye akaunti ndogo utahitaji kuweka angalau $ 5.
Utaweza kufungua maagizo
ambayo kiasi chake huanza kutoka lot 0.01 na utumie leverage nzuri. Pia unaweza
kufungua akaunti moja ya kila aina. Ili kuweza kufungua hadi akaunti 10 za aina
yoyote.
Hifadhi/Deposit yako
huamua ukubwa wako wa biashara
Saizi
ya chini ya biashara kwa madali wengi mfano FBS ni lot 0.01. Mengi kidogo
(Macro account) ni saizi ya kiwango cha kawaida katika soko la sarafu.Ukichukua
vipande 100,000 vya sarafu ya msingi ambyo ndio lot 1, kwa hivyo lot 0.01 hufanya hesabu za vipande 1,000 vya
sarafu ya msingi. Ikiwa utanunua lot 0.01 ya EUR / USD na leverage yako ni 1: 1000, utahitaji $ 1 kama kiwango
cha biashara hiyo.
Ikiwa umeweka $ 5 kwenye akaunti ndogo, utaweka amana hii na utaweza kufungua biashara nyingine 4 za saizi hii. Maana yake $4 zinakuwa kama margin na ukipa hasara haitakiwi iwe chin ya assilimia 20% yan $ 1. Ikifikia hapa basi biashara yako itafunga yenyewe kuepuka kubaki ni hasi kwenye account, maana yake utabakiwa na 1$.
Kwa mfano huu Kila pip kwenye mzunguko wa bei litakuletea au
litagharimu $ 0.1 ikiwa ni kwa viwango 5 vya decimali basi itakuwa ni $0.01.
Kampuni
amabazo ambazo zina Kiwango kidogo cha Kuanzia na ambazo unaweza kufanya
biashara ukiwa Tanzania ni hizi hapa. Tutakupa elimu taratibu mpaka ufungue
Account na uanze kufanya biashara
Tembelea Tovuti kwa Kubonyeza Link
FBS:
ww.fbs.com
Instaforex: www,instaforex.com
XM: www.xmgroup.com
Liteforex: www.liteforex.com
Jinsi ya Kufungua Account
Ili uanze kufanya Biashara Kwa Vitendo Mfano FBS Broker
Nitaeleza namna ya Kujiunga na Kampuni mojawapo ya biashara za Fedha, Kampuni
zipo nyingi ila ambazo zinafaa hasa watu wa kipato cha chini na cha kati ni
chache. Kufungua Account ni Rahisi sana.
Hakikisha
unambonyeza link hii ikupeleke moja kwa moja kwenye offer ya dolla 100. FBS market
Kampuni
hii naipendekeza kwa sababu inakianzio kidogo na faida kubwa, pia inatoa offer ya dolla.
1. Kufungua
Account ya Bonus unapewa dolla 100.
Bonyeza
kitufe cha "Get Bonus" kwenye tovuti ya link www.fbs.com Utahitaji kupitia utaratibu wa usajili na upate eneo lako kibinafsi. Bonus hii
ni ka wote ambao wanafungua biashara kwa mara ya kwanza.
Unaweza
kujiandikisha kupitia mtandao wa kijamii au ingiza data inayohitajika kwa
usajili wa akaunti mwenyewe.
Baada
ya kutuma taarifa zako utapokea ujumbe kwenye email yako wa kuthibitisha
usajili. Utapewa account namba na Password, zitunze vizuri.
Account
ya bonus inatumika kwenye Megatrade 5 hii n platform ya biashara ni kama browser ya kufanyia biashara.
Download
aina ya platform unayohitaji kulingana na kifaa chako kuna ya computer, simu za
android, Iphone n.k
Ukishaipakuwa
utainstall kama program nyingine halafu utaenda kwenye File-Login utaingiza
account namba na namba ya siri ulipewa, utachagua na server kwa kuwa ni demo
bas utachagua FBS demo.
Tayari
utakuwa umeshafungua account na upo tayari kwa ajili ya kuuza na kunua fedha na
bidhaa nyingine.
2. Kufungua
Account ya Biashara.
Utahitaji kuchagua aina ya akaunti
Ukishajiunga
Fbs unaweza kufungua aina tofauti ya account kwenye personal area yako. Zipo
Aina mbili ya account kwa wanaoanza cent account ambayo ni kianzio dolla 1 na
macro Account. Account ndogo kianzio Dolla 5. Mim nashauri kama unataka uanze
biashara na upate hela uione chagua ya Macro. Lakin pai unarusiwa kuwa na aina tofafauti
za account hata 10 unaweza pia kuwa na a cent kwa ajili ya kujifunzia, ukapata
cent za kula.
NB; Ikiwa wewe sio mzoefu
wa biashara, chagua senti au akaunti ndogo ili kufanya biashara na pesa kidogo kuanzia dolla 1 mpaka
utakapojua soko.
Ikiwa
tayari unayo uzoefu wa biashara ya Forex, unaweza kutaka kuchagua kiwango cha
kawaida akaunti isiyo na ukomo.
Ili
kujua zaidi juu ya aina za akaunti kwenye
Lazima
uweke sarafu ya akaunti yako inaweza ikawa dolla au Euro n,k.
Angalia
makubaliano ya wateja wa FBS market. Hakikisha unasoma kwa uangalifu (customer
agreement). Ukimaliza kusoma yote bonyeza kwamba unakubali makubaliano ya
wateja na bonyeza kitufe cha "Fungua akaunti".
Hongera!
Usajili wako umekamilika. Mfumo umekutengenezea nywila/namba ya siri ya muda
mfupi. Tunapendekeza Sana ubadilishe na ujenge nywila yako mwenyewe.
Andika
nywila mpya na bonyeza "Hifadhi nenosiri". Utaona habari ya akaunti
yako. Hakikisha uhifadhi nywila zako kwa uangalifu na uzihifadhi mahali salama.
Kumbuka
kuwa utahitaji kuingiza nambari yako ya akaunti, nenosiri la biashara na seva
ya biashara kwa MetaTrader 4 kuanza biashara.
Kumbuka
Account ya Bishara inatumia Metatrade 4 kama platform hakikisha unaipakuwa bure
kwenye
Angalia
barua pepe yako. Kutakuwa na barua pepe ya usajili. Fuata kiunga katika barua
hii ili uhakikishe anwani yako ya barua pepe na umalize usajili.
Ili
kuweza kutoa pesa kutoka kwa akaunti yako, unahitaji kuthibitisha wasifu wako,
hii ni pamoja na kupiga picha kitambulisho na kutuma kumbuka biashara ya fedha
inasimamiwa na bank hivyo ni kama unafungua account bank.
Kumbuka
kwamba kwa kuwa unayo eneo lako kibinafsi kwa FBS market, utaweza kufungua akaunti
zaidi za biashara wakati wowote unapenda.






No comments:
Post a Comment